March 19, 2025 09:19:47 AM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Kiongozi mpya wa chama cha ACT Tanzania Zitto Kabwe, akilakiwa na wajumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho, wakati wa uchaguzi mkuu uliofanyika kwenye ukumbi wa Kadinali Rugambwa, Oysterbay jijini Dar es Salaam, Jumamosi Machi 28, 2015. 


Zitto alichaguliwa kuwa kiongozi wa chama hicho nafasi ambayo kwa katiba ya chama hicho ndiyo ya juu zaidi. Nafasi zingine ni Mwenyekiti wa chama, na makamu wake, wa Tanzania visiwani na Tanzania bara, hali kadhalika nafasi ya ukatibu mkuu na manaibu wake wiwili. 

Mama Anna Mughwira kawa Mwenyekiti wa kwanza wa chama cha @ACTwazalendo na kuweka rekodi nchini Tanzania. Mwenyekiti wa Taifa mwanamke


Wajumbe wa NEC wa ACT Wazalendo waliochaguliwa
Zanzibar
Halima M Hamis

Said Ismail
Rashid S Ali
Juma Said Saanane 
Halua Ali Amali


Tanzania Bara
Marunga Msimba
Ali Mwinyi 
Sophia Yamola
Fungo G Benson
Charles Lubala
Godfrey Sanga 
Likapo B Likapo
Batulo Ibrahim 
Kirungi A Kirungi 
Alex Nsanga



Chama hicho kitazinduliwa rasmi Jumapili kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee Hall jijini Dar es Salaam.
Zitto akionyesha alama ya chama ambayo ni "Uwazi".
                                        Zitto akihutubia wajumbe.
                Zitto akihutubia wajumben wakati wa uchaguzi huo.
                Wajumbe wakiserebuka, wakati wa uchaguzi huo.
       Wajumbe wakifurahi kwa kushikana mikono kuonyesha umoja.
                                Wajumbe wakipiga kura.

                               Askofu Gerald Mpango.
Mzee Kasisiko, akiwakilisha waislamu kuomba dua.
Aliyekuwa katibu mkuu wa muda wa ACT-Tanzania, Samson Mwigamba, akihutubia.
Msimamizi wa uchaguzi huo, Profesa Kitila Mkumbo.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
29 Mar 2015

Post a Comment

 
Top