Mahakama ya wilaya ya kahama mkoani Shinyanga Jana imemuhukumu kwenda jela miaka 20 Ally Sanyiwa (24) kwa kosa la kumuoa dada yake Mektilda Sanyiwa(20) mkazi wa Chela.
Imedaiwa mahakamani hapo na mwendesha mashitaka wa polisi Koplo Evodia mbele ya hakimu mfawidhi George Mariki kuwa mtuhumiwa huyo alitenda kosa hilo mwezi machi mwaka huu.
Aidha koplo Evodia ameiambia mahakama hiyo kuwa mtuhumiwa huyo aliweza kumtorosha dada yake na kisha kumpeleka katika kijiji cha Mazimba na kuishi naye.
Wazazi wa Mektida ambaye ni mlemavu wa ngozi (albino) wamesema kuwa mara baada ya binti yao kutoweka nyumbani walipata hofu na kuanza kumtafuta mpaka alipopatikana akiwa anaishi nyumba moja na kijana wao.
Mahakama hiyo imetoa hukumu kwa mtuhumiwa huyo mara baada ya kukiri kutenda kosa hilo ambalo ni kinyume na maadili ya kitanzania.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- BREAKING NEWS: Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha ametangaza rasmi tarehe ya kurudiwa kwa uchaguzi mkuu wa Zanzibar22 Jan 20160
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha ametangaza rasmi tarehe ya kuru...Read more ?
- Rais Dkt. Magufuli Amteua Jakaya Kikwete Kuwa Mkuu Wa Chuo Kikuu Cha Dar Es Salaam.21 Jan 20160
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Rais Mstaafu wa awamu ...Read more ?
- JANUARY MAKAMBAASHANGAZWA NA HAYA MAGAZETI MATATU KUHUSU LOWASSA02 Sep 20150
Naibu waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ameonesha kushangazwa na mfa...Read more ?
- Polisi Yakamata Majambazi 38 Yakiwa na silaha Nzito pamoja na Milioni 170......Majambazi hayo yanadaiwa na mafunzo ya Kijeshi01 Sep 20150
Jeshi la Polisi limewakamata watu 38 wanaotuhumiwa kuwa ni majambazi ambao pia wamepatiwa mafun...Read more ?
- Wananchi Wafunga Barabara Baada ya Gari la Polisi Kugonga Wanafunzi wawili31 Aug 20150
Wananchi wa eneo la Misugusugu Wilayani Kibaha Mkoani Pwani hii leo wamefunga barabara baada ya...Read more ?
- Hali Tete Bunda, Viongozi CHADEMA Wajiuzulu...Kisa Ester Bulaya22 Aug 20150
SIKU chache baada ya mgombea ubunge wa Jimbo la Bunda Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maend...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment