March 15, 2025 01:31:22 AM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Watu wawili Wamefariki Dunia Kutokana na Ajali ya Basi Asubuhi Hii.
Basi Hilo Lililokuwa likitokea Jijini dar es salaam Kuelekea Mombasa Nchini Kenya Limeacha Njia Na Kupinduka na Kusababisha Vifo vya watu Wawili pamoja na Kujeruhi abiria 10.Ajali hiyo imetokea Muda Huu katika Eneo la Mkata na Goba Barabara Kuu ya Chalinze Segera.
Chanzo;ITV.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
11 Apr 2014

Post a Comment

 
Top