March 23, 2025 03:58:07 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Klabu ya Simba ya jijini DSM leo imefanikiwa kupata ushindi wa maba 2-1 dhidi ya JKT Ruvu katika mchezo uliopigwa katika dimba la Taifa jijini Dar es salaam.
Mabao yote ya Simba yamefungwa na mganda Danny Sserunkuma katika dakika ya 1 na 48 kwa kumalizia kros za mganda mwenzake ambaye leo alikuwa katika kiwango chake kilichozoeleka , Emmanuel Okwi.
Kwa matokeo hayo Simba imefikisha point 16 na kupanda hadi nafasi ya 7 ikiwa imecheza mechi 12.
Matokeo ya mechi nyingine za leo ni haya:-
Polisi Morogoro 1-0 Mbeya City (Bahanuzi)
Tanzania Prisons 1-1 Kagera Sugar
Coastal Union 0-0 Mtibwa Sugar
Simba SC 2-1 JKT Ruvu

Mechi za kesho ni:- 
Yanga SC Vs Ndanda FC
Ruvu Shooting Vs Stand United

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
31 Jan 2015

Post a Comment

 
Top