
Magoli ya United yalifungwa na Van Persie, Radamel Falcao na moja la kujifunga kwa Leceister wenyewe.
Mpaka timu hizo zinaenda mapumziko United walikuwa wanaongoza 3-0.
Kipindi cha pili United walipunguza kasi na Leceister wakajaribu kufanya maajabu ya kusawazisha magoli na hata kupata ushindi kabisa lakini siku haikuwa yao – wakaishia kupata goli moja tu lilofungwa na Wasilewski.
MANCHESTER UNITED (4-1-2-1-2): De Gea 6; Valencia 7 (Mata 77, 6), Jones 6.5, Rojo 7, Shaw 7; Blind 7.5; Rooney 7, Januzaj 6.5; Di Maria 7; Van Persie 8 (McNair 68, 6), Falcao 7.5 (Wilson 80, 6)
Subs not used: Valdes, Smalling, Herrera, Fellaini
Goal: Van Persie 27, Falcao 32, Morgan OG 44
LEICESTER (4-4-2): Schwarzer 6; Simpson 5, Wasilewski 6.5, Morgan 5; De Laet 6; Vardy 5 (Cambiasso 46, 6), Drinkwater 5, King 6, Schlupp 5; Ulloa 5 (Nugent 62, 6), Kramaric 5 (Albrighton 62, 6.5)
Matokeo mengine ya michezo ya leo:-



Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment