March 16, 2025 04:41:59 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
bucketHekaheka ya leo Jan8, inatokea huko Shinyanga, ambapo watu  wanaishi nyumba moja wamemlalamikia mpangaji mwenzao kwa kitendo chake  cha kutokwenda chooni na kujisaidia kwenye mifuko na kutupa hovyo uchafu huo wakati wa usiku, baada ya kumlalamikia aliamua kutumia ndoo kujisaidia kwa madai kuwa  hawezi kwenda chooni kwa kuogopa ugonjwa wa UTI.
Mwanamke huyo alipoulizwa alisema huwa anajisaidia nyumba ya  jirani kwa rafiki yake kutokana na choo chao kujaa, amekataa kwamba huwa anajisaidia kwenye ndoo, amesema amekuwa akiogea ndani kwake pamoja na kufua na kisha kumwaga maji nje kitendo kinachowafanya wafikirie kuwa anajisaidia kwenye ndoo.
Isikilize hapa Hekaheka yote kwa kubonyeza play

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
08 Jan 2015

Post a Comment

 
Top