Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This



Msanii aliyetengeneza sanamu la Nelson mandela huko south africa ameingia kwenye matatizo makubwa, baada ya serikali hiyo ya south African kugundua kwamba kwenye sikio la sanamu hilo kuna ka sanamu pia kadogo ka panya, kama inavyo onekana kwenye picha. Serikali hiyo imeamuru panya huyo atolewe haraka kwani haileti picha nzuri au maana yoyote kuwepo na kitu kama hicho.

Msanii huyo aliomba radhi kwa kutuma email kadhaa kwa serikali, lakini hakuna iliyojibiwa, baadae alipewa msamaha ila pia alijibu makosa kwanini aliamua kuweka kitu kama hicho kabla ya kutoa taarifa kwa serikali na pia kutoa maana yake

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top