Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Islamic-Wedding-Ceremony-Follow-Religious-Traditions
Soudy Brown alianza na stori inayohusu jamaa mmoja ambae anadai kwamba Sheikh Shariff amemchukulia mkewe, baada ya madai hayp Soudy Brown kamcheki Sheikh Shariff ili apate majibu ya ishu yenyewe.
Sheikh Shariff amesema ni kweli amemuoa mwanamke huyo kwa kuwa tayari aliachika na taratibu zote zilifanyika kwa hiyo alimuoa akiwa tayari kaachika na hakuwa mke wa mtu.
Kingine ni kwamba Sheikh Shariff amesema tayari ndoa yao inaendelea na tayari mwanamke huyo ana ujauzito, kwa upande wa mwanamke amesema waliachana toka mwezi wa nne 2015 na hana habari nae tena toka hapo.
Iko kwenye hii sauti, wote watatu Sheikh Shariff na mkewe pamoja na mwanaume wa kwanza.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top