Home
»
Stori muhimu
» Majibu ya Sheikh Shariff kwa Soudy Brown kuhusu ishu ya kuoa mke wa mtu…. (Audio)
Soudy Brown alianza na stori inayohusu jamaa mmoja ambae anadai kwamba Sheikh Shariff amemchukulia mkewe, baada ya madai hayp Soudy Brown kamcheki Sheikh Shariff ili apate majibu ya ishu yenyewe.
Sheikh Shariff amesema ni kweli amemuoa mwanamke huyo kwa kuwa tayari aliachika na taratibu zote zilifanyika kwa hiyo alimuoa akiwa tayari kaachika na hakuwa mke wa mtu.
Kingine ni kwamba Sheikh Shariff amesema tayari ndoa yao inaendelea na tayari mwanamke huyo ana ujauzito, kwa upande wa mwanamke amesema waliachana toka mwezi wa nne 2015 na hana habari nae tena toka hapo.
Iko kwenye hii sauti, wote watatu Sheikh Shariff na mkewe pamoja na mwanaume wa kwanza.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- BREAKING NEWS: Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha ametangaza rasmi tarehe ya kurudiwa kwa uchaguzi mkuu wa Zanzibar22 Jan 20160
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha ametangaza rasmi tarehe ya kuru...Read more ?
- Rais Dkt. Magufuli Amteua Jakaya Kikwete Kuwa Mkuu Wa Chuo Kikuu Cha Dar Es Salaam.21 Jan 20160
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Rais Mstaafu wa awamu ...Read more ?
- JANUARY MAKAMBAASHANGAZWA NA HAYA MAGAZETI MATATU KUHUSU LOWASSA02 Sep 20150
Naibu waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ameonesha kushangazwa na mfa...Read more ?
- Polisi Yakamata Majambazi 38 Yakiwa na silaha Nzito pamoja na Milioni 170......Majambazi hayo yanadaiwa na mafunzo ya Kijeshi01 Sep 20150
Jeshi la Polisi limewakamata watu 38 wanaotuhumiwa kuwa ni majambazi ambao pia wamepatiwa mafun...Read more ?
- Wananchi Wafunga Barabara Baada ya Gari la Polisi Kugonga Wanafunzi wawili31 Aug 20150
Wananchi wa eneo la Misugusugu Wilayani Kibaha Mkoani Pwani hii leo wamefunga barabara baada ya...Read more ?
- Hali Tete Bunda, Viongozi CHADEMA Wajiuzulu...Kisa Ester Bulaya22 Aug 20150
SIKU chache baada ya mgombea ubunge wa Jimbo la Bunda Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maend...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment