Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

FUNGUKA! Staa wa filamu za Kibongo, Flora Mvungi ambaye ni mke wa ndoa wa msanii wa muziki wa Kizazi Kipya, Hamis Ramadhan ‘H. Baba’ amefunguka kwamba mwaka huu ameshindwa kufunga Mwezi Mtukufu (ukobe) kwa sababu ananyonyesha.

Staa wa filamu za Kibongo, Flora Mvungi.
Akijibu minong’ono ya watu iliyohoji kwa nini hafungi, Flora alisema kutokana na mwanaye kuwa mchanga na kila mara anataka kunyonya, ameshindwa kufunga kwani imekuwa vigumu kutokana na kupatwa na njaa ya mara kwa mara.

“Jamani ngoja tu nimnyonyeshe mwanangu maana bado mdogo na mimi ni mzazi hivyo sikuweza kufunga, ninatakiwa nile kila wakati kwa sababu mwanangu ananyonya sana, msinitafsiri vibaya,” alisema Flora ambaye amekuwa kibonge kupindukia.

UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331
 
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top