Akijibu minong’ono ya watu iliyohoji kwa nini hafungi, Flora alisema kutokana na mwanaye kuwa mchanga na kila mara anataka kunyonya, ameshindwa kufunga kwani imekuwa vigumu kutokana na kupatwa na njaa ya mara kwa mara.
“Jamani ngoja tu nimnyonyeshe mwanangu maana bado mdogo na mimi ni mzazi hivyo sikuweza kufunga, ninatakiwa nile kila wakati kwa sababu mwanangu ananyonya sana, msinitafsiri vibaya,” alisema Flora ambaye amekuwa kibonge kupindukia.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment