Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mtu aliyekuwa amevaa bomu kwa siri amemuua ndugu wa rais wa Afghanistan,  Hamid Karzai kusini mwa jiji la Kandahar.

Ajidai mgeni wa Eid na kumuua ndugu wa rais wa Afghanistan
Maafisa wameelezaa kuwa Hashmat Karzai alikuwa anapokea wageni katika nyumba yake walioleta salam za Eid, ndipo mtu huyo alipojilipua na kumuua yeye pia.
Ndugu huyo wa rais Hamid anayefahamika kwa jina la Hashmat Karzai alikuwa meneja kampeni wa Ashraf Ghani ambaye ni mmoja kati wagombea wawili wa urais wanaopewa nafasi kubwa ya kukikalia kiti cha Hamid Karzai baada ya uchaguzi.
  Rais wa Afghanistan Hamid karzai
Hakuna kundi lolote lilidai kuhusika na mauaji hayo. 
Kundi la Taliba limekuwa likijihusisha na mauaji katika jiji hilo wakati ambapo wakielekea kwenye uchaguzi wa rais.
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331

kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top