
Soko la filamu nchini kenya limekuwa kwa kasi ya ajabu kutokana na Filamu wanazozifanya zikiwemo hata zile za wakubwa sasa hivi karibuni baadhi ya mastaa kutoka kenya kama Naomi Ng’ang’a pamoja na Kalekye Mumo wameungana na kufanya kufuru wao wanaita Sey Commedy unaweza kutizana behind the scene hapa.






UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment