
Weekend
ya usiku wa kuamkia July 27 2014 ndio Diamond na Lady Jaydee
wametangazwa kuwa washindi wa tuzo kwenye tuzo za AFRIMMA2014
zilizotolewa nchini Marekani zikiwa zimewashindanisha mastaa wakubwa wa
Afrika kama vile Davido, Mafikizolo, 2Face na wengine.
Kama ulitamani kuona Diamond akihojiwa baada ya ushindi huo hii ndio time yako mtu wangu… kuitizama youtube bonyeza hapa
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment