March 15, 2025 09:34:18 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
.
.
Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Bernard Membe ambaye June 30 alikabidhi rasmi fomu  kwenye ofisi za makao makuu ya CCM kama mmoja wa waliotangaza nia ya kuomba kuteuliwa kugombea urais 2015, amezipokea RT’s kwenye twitter yake baada ya kuweka picha akiwa na Zitto Kabwe kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo.
.
.
Baada ya kuiweka hii picha aliandika ‘Siasa sio uadui, tumeweza kupingana bila kupigana tuendeleze utamaduni huu adhimu.’

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
02 Jul 2015

Post a Comment

 
Top