March 15, 2025 10:29:34 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Sheria iliyopitishwa na Mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA "Cybercrime au Cyberbulling" Kuwa ukitukana mtandaoni na Comment ikawa inaonekana aliyeandika utalipa faini ya Shiling laki 7.5 kwa kila siku  imemfanya Lulu Michael Arudi Mtandaoni Baaada ya Kujitoa kutokana na Matusi ya Watu waliokuwa wakimshambulia ...

Lulu Amesema "Binafsi nadhani Sheria hii Itasaidia Kidogo Watanzania kupunguza matumizi Mabovu ya Mitandao ya Kijamii , Fikiria wazazi wetu wangetulia kwa kutukana kama ilivyo sasa tungekuwa wapi sasa hivi? "

Huku Lulu Akishangalia Sheria Hiyo Mrembo Wema Sepetu Amepinga Vikali Sheria hiyo kwa kusema inanyima uhuru kwa Mashabiki wake kumrekebisha , Wema Amesema yeye yuko radhi kutukanwa kwani ndio kunamrekebisha ......"Je mimi nitawezaje kujua makosa yangu ili niweze kubadilika na kufanya vizuri kama sintasikiliza maoni ya watu yawe mabaya au Mazuri" Ali hoji Wema Sepetu

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
12 May 2015

Post a Comment

 
Top