March 16, 2025 01:31:00 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Ujumbe Alioandika Dada wa Mwanamuziki Diamond Baada ya Kujifungua mtoto wa Kike

Esmaplatnum
"ooh mungu wangu asante kwa kunipa zawadi hii tena maana hii ni zawadi nakukabizi malaika wakoumpe makuzi salama na yenye afya tele umuepushe na kila husda za walimwengu nasema asante mwenyezi mungu kwani hakuna wa kumuomba zaidi yako wee ndio mpanga na mpangua kwako hakishindikani kitu bac nakukabizi malaika wako ukamlinde baba nasema asante sikuchoka kukuomba nilalapo nisikiapo uchungu jina lako lilikuwa mdomoni kwangu umesikia maombi yangu nasema asante "


Tunakupa hongera sana kwa kujifungua mtoto wa kike

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
06 May 2015

Post a Comment

 
Top