Wekundu wa Msimbazi Simba SC leo March 22, 2015,jioni , imezinduka kutoka kwenye kipigo cha 2-0 cha Mgambo Shooting wiki iliyopita, baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu huu 2014/2015 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Simba SC ilipata bao lake la kwanza dakika ya 60, mfungaji Ibrahim Hajibu kwa mkwaju wa penalti, baada ya beki wa Ruvu, Said Madega kumfanyia madhambi Awadh Juma.
|
Post a Comment
Post a Comment