Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This



Suti  ya  Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mh Steven Wassira  imegeuka  gumzo  mtandaoni baada  ya  kukosewa  kufungwa  vifungo  vyake.....

Wassira  alionekana  ndani  ya  vazi  hilo wakati  wa   Sherehe za Utume zilizoandaliwa na kanisa la Waadventista Wasabato (SDA) na kujumuisha nchi zingine 11 za Afrika Mashariki na Kati.
Sherehe  hizo  zilizofanyika  juzi uwanja wa taifa  Dar  zilihudhuriwa  na kiongozi wa Kanisa la Waadventista Wasabato (SDA) duniani, Askofu Ted Wilson ambapo mgeni rasmi  wa  sherehe  hizo  alikuwa  ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal


Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mh Steven Wassira (wa pili toka kushoto) akiwa katika  picha ya pamoja  na  kiongozi wa Kanisa la Waadventista Wasabato (SDA) duniani, Askofu Ted Wilson( wa  nne toka kushoto) wakati wa sherehe za utume wa kanisa  hilo.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
10 Feb 2015

Post a Comment

 
Top