March 21, 2025 03:03:04 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
momaa

Zikiwa ni siku 10 tangu Bobbi Kristina apoteze fahamu na kuendelea kutumia mashine zinazomsaidia kupumua hadi sasa imeelezwa hali yake bado haijabadilika tangu adondoke bafuni na kukimbizwa katika hospitali ya Emory University hospital iliyopo Atlanta, Marekani.

Kwa mujibu wa familia ya Kristina na madaktari wamekubaliana kumwondolea mashine anayopumulia kesho ikiwa ni siku ambayo mama yake mzazi Whitney Houston alifariki dunia katika mazingira ya kudondoka  bafuni kama mtoto wake.
bob


Baba yake Kristina, Bobby brown akitoka hospitali
Madaktari wameonyesha kukata tamaa ya kurejesha tena maisha ya mtoto huyo na kuamua kuiachia familia juu ya hatma ya mtoto wao kufanya maamuzi kuhusu kutoa mashine anayopumulia.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
10 Feb 2015

Post a Comment

 
Top