Home
»
maajabu
» Maajabu ya Dunia.. Hii ni ya kichanga aliyezaliwa na kukutwa na ujauzito wa mapacha !!
Mara nyingi tumezoea kusikia matukio ya ajabu, mengine yakiingia kwenye historia na kuacha kumbukumbu zisizofutika kama hii ya mtoto aliyezaliwa China na kugundulika kuwa ni mjamzito.
Mtoto huyo aliyezaliwa Katika Hospitali ya Queen Elizabeth na kugundulika kuwa ana ujauzito wa watoto mapacha wiki tatu tangu azaliwe kitendo kilichowalazimu madaktari kumfanyiwa upasuaji.
Daktari bingwa wa uzazi Dr Yu Kai-man amesema haikuwa rahisi kumchunguza mtoto huyo ili kujua ujauzito huo, kwa kuwa ujauzito huo ulikuwa mdogo sana na haikuwa rahisi kufikiri kwamba mtoto huyo mdogo anaweza kupata ujauzito.
Taarifa zinasema tukio kama hili lilitokea mwaka 2010 ambapo lilimtokea msichana ambaye hajafahamika, Shirika la Afya Duniani lilisema hiyo inaweza kuwa aina ya cancer na inaweza kuhusishwa na kitendo cha mama kutoa sana ujauzito.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- kama siku yako haijafika ni haijafika tu… tazama hizi dakika 9 uone watu wanavyokoswakoswa18 Dec 20150
Ni kumuomba Mungu tu siku zote na kama hajapanga hiyo siku iwe ya mwisho kwako, hata iweje haitak...Read more ?
- Leo nimekuletea hii utazame barabara 10 hatari kwenye hii dunia! kosa moja tu la dereva….14 Jul 20150
Kuna sehemu za hatari sana duniani ambazo unaambiwa ukifanya kosa moja tu unajiweka k...Read more ?
- AJABU:Mwanaume Apandikiziwa Uso wa Mtu Mwingine Baada ya Uso wake Kuaribika na Kuwekewa Sura ya Mtu aliyekufa31 May 20150
Picha ikimwonyesha Norris kabla hajapata ajali, alivyopata ajali na baada ya kuwekewa uso mwingin...Read more ?
- Maajabu: Kila mtu na starehe yake…lakini ya bibi huyu ni kula mchanga kila siku!!15 May 20150
Kibonajoro.com iliwahi kuandika stori ya mama mmoja Evelyne kutoka Missouri, Mare...Read more ?
- Maajabu! Mwanadada Ajifungua 'NAZI' badala ya Mtoto,Ushirikina watajwa30 Apr 20150
Maajabu! Msichana aliyefahamika kwa jina la Dora mkazi wa Magomeni Bagamoyo mkoani Pwani, hivi k...Read more ?
- Ajabu na kweli Ng'ombe Awala Kondoo Kenya, Akataa Kula Majani...(Video)!!24 Apr 20150
Mkulima mmoja nchi Kenya anasema kuwa mmoja wa ng'ombe wake amesusia lishe yake ya kawaida na...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment