Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
(null)
Ligi kuu ya Hispania maarufu kama La Liga imeendelea tena jana kwa mchezo ambao ulivihusisha vilabu vya Real Madrid na Real Sociedad.
Mchezo huo uliochezwa kwenye dimba la Santiago Bernabeu, ulikuwa ndio wa kwanza kwa kocha wa zamani wa Man United – David Moyes katika uwanja huo.
Huku wakicheza bila mshambuliaji wao tegemeo Cristiano Ronaldo ambaye amesimamishwa mechi mbili – Real Madrid leo wameiadhibu Sociedad magoli 4-1.
Sociedad ndio walioanza kuziona nyavu za Madrid katika dakika ya kwanza tu ya mchezo lakini dakika mbili baadae Real walisawazisha kupitia James Rodriguez.
Ramos aliongeza lingine dakika ya 36, na Benzema akashindilia misumari ya mwisho dakika ya 51 na 76.
TIMU ZILIPANGWA HIVI
Real Madrid: Casillas, Carvajal, Varane, Ramos, Marcelo, Irrallamendi, Kroos (Khedira 81), James (Jese 74), Isco, Bale, Benzema (Hernandez 81)
Subs not used: Navas, Coentrao, Arberloa, Nacho
Scorer(s): James 3, Ramos 36, Benzema 51, 76
Booked: Irrallamendi 30, Marcelo 70, Khedira 87
Real Sociedad: Rulli, Aritz (Bergara 63), Gonzalez, Inigo Martinez, Yuri, Gorka Elustondo, Ruben Pardo, Xabi Prieto, Granero, Canales (De la Bella 46), Vela (Agirretxe 17)
Subs not used: Finnbogason, Zubikarai, Castro, Zaldúa
Scorer(s): Aritz 1,

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
01 Feb 2015

Post a Comment

 
Top