Jana Februali14 kuanzia majira ya saa1 za usiku mpk saa4 za usiku maeneo ya Kigoma Mjini ilinyesha mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali bila kusahau Radi zilizopiga kwa muda wote ambapo mvua ilikuwa inanyesha,kama kawaida ya Tanesco mara panapokuwa na dalili za kunyesha mvua zenye hali ya hatarishi maranyingi umeme huzimwa na ndivyo ilivyokuwa jana katika maeneo mengi ya mji wa Kigoma Mjini,
Pichaz: Madhara Yaliyotokana na Mvua ya Jana Iliyonyesha Maeneo ya Kigoma Mjini na Kuleta Adha na Usumbufu Mkubwa
Jana Februali14 kuanzia majira ya saa1 za usiku mpk saa4 za usiku maeneo ya Kigoma Mjini ilinyesha mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali bila kusahau Radi zilizopiga kwa muda wote ambapo mvua ilikuwa inanyesha,kama kawaida ya Tanesco mara panapokuwa na dalili za kunyesha mvua zenye hali ya hatarishi maranyingi umeme huzimwa na ndivyo ilivyokuwa jana katika maeneo mengi ya mji wa Kigoma Mjini,
Post a Comment
Post a Comment