Taswira taraja la Stesheni Kigoma likiwa limeharibika vibaya.
Jana Februali14 kuanzia majira ya saa1 za usiku mpk saa4 za usiku maeneo ya Kigoma Mjini ilinyesha mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali bila kusahau Radi zilizopiga kwa muda wote ambapo mvua ilikuwa inanyesha,kama kawaida ya Tanesco mara panapokuwa na dalili za kunyesha mvua zenye hali ya hatarishi maranyingi umeme huzimwa na ndivyo ilivyokuwa jana katika maeneo mengi ya mji wa Kigoma Mjini,
Jana Februali14 kuanzia majira ya saa1 za usiku mpk saa4 za usiku maeneo ya Kigoma Mjini ilinyesha mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali bila kusahau Radi zilizopiga kwa muda wote ambapo mvua ilikuwa inanyesha,kama kawaida ya Tanesco mara panapokuwa na dalili za kunyesha mvua zenye hali ya hatarishi maranyingi umeme huzimwa na ndivyo ilivyokuwa jana katika maeneo mengi ya mji wa Kigoma Mjini,
''katika maeneo mengi ya mjini kumekuwa na uhalibifu mkubwa wa miundombinu ya barabara na makazi ya watu,nyumba kuezuliwa paa,kuta za nyumba kubomoka,madaraja kuharibiwa na vifaa vya umeme kupigwa na radi majumbani:-kama vile Tv,Radio n.k.,mwandishi wa kigoma24hours alifanikiwa kupata picha zinavyoenyesha hali halisi ilivyokuwa mara baada ya mvua kunyesha'',
picha hapo ni daraja lililopo eneo la sheli ya GBP iliyopo stesheni barabara ya post ukiwa unaelekea kibirizi likiwa limeharibiwa vibaya
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro













Post a Comment
Post a Comment