Mchezo wa ligi kuu soka nchini Uingereza ulichezwa jioni ya leo kati ya Manchester United na Southampton umemalizika kwa timu ya mashetani wekundu kuchezea kichapo cha goli moja kwa bila goli lililofungwa dakika 69 kipindi cha pili na Tadic.
Southampton imechupa mpaka nafasi ya tatu kwa kufikisha ponti 39 nyuma ya Man City.
Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi
Post a Comment
Post a Comment