Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
BANNER_UNITEDVSOTON_1101_004.jpgMchezo wa ligi kuu soka nchini Uingereza ulichezwa jioni ya leo kati ya Manchester United na Southampton umemalizika kwa timu ya mashetani wekundu kuchezea kichapo cha goli moja kwa bila goli lililofungwa dakika 69 kipindi cha pili na Tadic.
Southampton imechupa mpaka nafasi ya tatu kwa kufikisha ponti 39 nyuma ya Man City.The Southampton players celebrate after taking the lead thanks to Tadic's strikeDusan Tadic (second right) pounces upon the rebound and converts to hand Southampton the lead against United

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top