Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Baada ya wiki moja ya malumbano mtandaoni na king lawrence kumlaumu mrembo huyu kuwa anatumia muda mingi na mpenzi wake mpya Diamond platnumz kuliko watoto wake. 
Mpenzi huyu mpya wa mkali wa Msanii wa Bongo Nasibu Abdul 'Diamond' ameamua kuwaonyesha wambea wake kuwa anawapenda wanawe na muda wote yuko nao.
Hizi ni baadhi ya picha akiongelea na wanae kabla ya shule kufunguliwa 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top