kwenye Press Conference yake amesema mengi sana lakini hakuna la maana wala msingi alilolisema la kumnusuru na hasa baada ya Mwanasheria Mkuu Werema ambaye hakutajwa kupokea senti tano za Escrow alipotangulia mwenyewe badala ya kumsubiri Rais kama anavyotaka kufanya Waziri Tibaijuka, ninasema hivi:-
1. Waziri alikuwa UN kwa muda mrefu sana anajua maadili ya UN kwamba ukituhumiwa tu kupokea hata senti tano nje ya kazi yako unafukuzuwa kazi siku hiyo hiyo, ndio maana Ban Ki Moon amesema haamini kwamba ni kweli kuwa Waziri Tibaijuka amepokea hizo pesa. Now understand hakusema haamini kwamba ameiba isipokuwa haamini kwamba amepokea hizo pesa, WHY? anajua kwamba huyu Mama baada ya muda wote aliokuwa UN anajua better kuhusu kupokea anything nje ya kazi.
2. Waziri Tibaijuka jana kuna kosa moja kubwa sana alilolifanya nalo ni kutooonyesha the media record ya tabia yake ya kupokea pesa za misaada, alitakiwa awaonyeshe waandishi wa habari historia yake ya kupokea misaada akiwa Waziri na kabla hajawa Waziri at least angekuwa na upenyo wa kutokea kwamba ni tabia yake toka akiwa UN kupokea misaada ya pesa kutoka kwa wafanyabiashara wakubwa sio hapa tu hata alipokuwa huko UN. Sasa kwa kushindwa kuonyesha hilo anakuwa anaelea elea na utetezi wake kwamba zilikujwa ni pesa za misaada ya Shule.
3. Pesa za Escrow alizozipokea kuna Makanisa na MaaAskofu waliozikataa, kwa mfano Kanisa la Saint Peters lilizikataa pesa hizo meaning kwamba Kanisa lilishituka kwamba process haiko sawa sasa ina maana Kanisa linaweza kuwa na smart judgement kuliko Professor Anna Tibaijuka WAziri wa Jamhuri na former UN Boss? Haingii akilini, uchunguzi ulkiofikishwa bungeni umeonyesha Waziri alipokea pesa hizo 1.6 Billion na kuziingiza kwenye account ya shule anayioisema na siku mbili later akazitoa bila Shule kujua wala kuidhinishwa na bodi ya Shule WHY?
- Kwa kumalizia nasema hivi Waziri Tibaijuka aondoke sasa kabla ya Rais hajamuondoa maana hawezi kumuacha no way itakuwa ni Banana Republic Taifa ambalo Mawaziri wanaruhusiwa kupokea Billions kutoka kwa wafanya biashara bila kumuarifu anybody are you kidding me or what? Nashangaa mpaka sasa nafsi yake haimsuti kwamba MWanasheria Mkuu ambaye hakupokea senti tano amejiondoa mwenyewe kuwajibika na yeye aliyepokea anadai hana makosa please, enough Wananchi wamechishwa na hizi longo longo huyu mama kuna mnaoheshimiana naye mnasoma hapa mwambieni alichokifanya jana kwenye media ni sawa sawa na ile Press ya Miss Tanzania nothing personal lakini hata hiki Chama Cha Mapinduzi mnakimaliza wenyewe I mean Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM ya Nyerere usikike umepokea Billion kutoka mfanya biashara hivi kweli kungekuwa na kesi tena? Alikuwa anasema nini pale mtumzima mwenye elimu kubwa kuliko Wananchi wengi wa Taifa hili? Halafu na nyie media ya bongo kwa nini huwa hamuulizi maswali serious?
- Alipokuwa anawataja kina Rais Mkapa na Mzee Mengi kuwahi kumchangia mngemuuliza alipokuwa UN aliwahi kuchangiwa na je kabla hajwa Waziri Mkapa na Mengi waliwahi kumchangia?
- MAMA TIBAIJUKA JIUZULU TU UKINUSURU CCM CHAMA CHA MAPINDUZI HUWEZI KUWA MJUMBE WA KAMATI KUU YA CCM NA WAZIRI WA JAMHURI UKAANZA KUPOKEA MISAADA YA WAFANYA BIASHARA WAKUBWA NCHINI NI MAKOSA MAKUBWA SANA JIUZULU NOW, IFIKE MAHALI VIONGOZI WA TAIFA MCHAGUE KUWA VIONGOZI AU KUPOKEA MISAADA YA WAFANYA BIASHARA WAKUBWA ILA HAMUWEZI KUCHANGANYA VYOTE, HAPANA SISI WANANCHI HATUTAWARUHUSU!!
Le Mutuz
1. Waziri alikuwa UN kwa muda mrefu sana anajua maadili ya UN kwamba ukituhumiwa tu kupokea hata senti tano nje ya kazi yako unafukuzuwa kazi siku hiyo hiyo, ndio maana Ban Ki Moon amesema haamini kwamba ni kweli kuwa Waziri Tibaijuka amepokea hizo pesa. Now understand hakusema haamini kwamba ameiba isipokuwa haamini kwamba amepokea hizo pesa, WHY? anajua kwamba huyu Mama baada ya muda wote aliokuwa UN anajua better kuhusu kupokea anything nje ya kazi.
2. Waziri Tibaijuka jana kuna kosa moja kubwa sana alilolifanya nalo ni kutooonyesha the media record ya tabia yake ya kupokea pesa za misaada, alitakiwa awaonyeshe waandishi wa habari historia yake ya kupokea misaada akiwa Waziri na kabla hajawa Waziri at least angekuwa na upenyo wa kutokea kwamba ni tabia yake toka akiwa UN kupokea misaada ya pesa kutoka kwa wafanyabiashara wakubwa sio hapa tu hata alipokuwa huko UN. Sasa kwa kushindwa kuonyesha hilo anakuwa anaelea elea na utetezi wake kwamba zilikujwa ni pesa za misaada ya Shule.
3. Pesa za Escrow alizozipokea kuna Makanisa na MaaAskofu waliozikataa, kwa mfano Kanisa la Saint Peters lilizikataa pesa hizo meaning kwamba Kanisa lilishituka kwamba process haiko sawa sasa ina maana Kanisa linaweza kuwa na smart judgement kuliko Professor Anna Tibaijuka WAziri wa Jamhuri na former UN Boss? Haingii akilini, uchunguzi ulkiofikishwa bungeni umeonyesha Waziri alipokea pesa hizo 1.6 Billion na kuziingiza kwenye account ya shule anayioisema na siku mbili later akazitoa bila Shule kujua wala kuidhinishwa na bodi ya Shule WHY?
- Kwa kumalizia nasema hivi Waziri Tibaijuka aondoke sasa kabla ya Rais hajamuondoa maana hawezi kumuacha no way itakuwa ni Banana Republic Taifa ambalo Mawaziri wanaruhusiwa kupokea Billions kutoka kwa wafanya biashara bila kumuarifu anybody are you kidding me or what? Nashangaa mpaka sasa nafsi yake haimsuti kwamba MWanasheria Mkuu ambaye hakupokea senti tano amejiondoa mwenyewe kuwajibika na yeye aliyepokea anadai hana makosa please, enough Wananchi wamechishwa na hizi longo longo huyu mama kuna mnaoheshimiana naye mnasoma hapa mwambieni alichokifanya jana kwenye media ni sawa sawa na ile Press ya Miss Tanzania nothing personal lakini hata hiki Chama Cha Mapinduzi mnakimaliza wenyewe I mean Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM ya Nyerere usikike umepokea Billion kutoka mfanya biashara hivi kweli kungekuwa na kesi tena? Alikuwa anasema nini pale mtumzima mwenye elimu kubwa kuliko Wananchi wengi wa Taifa hili? Halafu na nyie media ya bongo kwa nini huwa hamuulizi maswali serious?
- Alipokuwa anawataja kina Rais Mkapa na Mzee Mengi kuwahi kumchangia mngemuuliza alipokuwa UN aliwahi kuchangiwa na je kabla hajwa Waziri Mkapa na Mengi waliwahi kumchangia?
- MAMA TIBAIJUKA JIUZULU TU UKINUSURU CCM CHAMA CHA MAPINDUZI HUWEZI KUWA MJUMBE WA KAMATI KUU YA CCM NA WAZIRI WA JAMHURI UKAANZA KUPOKEA MISAADA YA WAFANYA BIASHARA WAKUBWA NCHINI NI MAKOSA MAKUBWA SANA JIUZULU NOW, IFIKE MAHALI VIONGOZI WA TAIFA MCHAGUE KUWA VIONGOZI AU KUPOKEA MISAADA YA WAFANYA BIASHARA WAKUBWA ILA HAMUWEZI KUCHANGANYA VYOTE, HAPANA SISI WANANCHI HATUTAWARUHUSU!!
Le Mutuz
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment