March 20, 2025 09:50:51 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Maziko ya mwili wa marehemu Aisha Madinda yakifanyika katika makaburi ya Kibada, Kigamboni jioni hii.
Mwili wa Aisha Madinda ukishushwa kaburini.
Maziko yakiendelea.
Waombolezaji wakiweka udongo katika kaburi la Aisha Madinda.
Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa Aisha Madinda kuelekea makaburini.
Waombolezaji wakiwa makaburini.
HATIMAYE mwili wa aliyekuwa mwimbaji na mnenguaji wa Twanga Pepeta, Aisha Madinda umezikwa jana jioni katika makaburi ya Kibada, Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Mamia ya wakazi wa Jiji la Dar wamejitokeza na kuhudhuria maziko ya msanii huyo aliyefariki dunia juzi.
Mungu ailaze roho ya marehemu AISHA MADINDA mahali pema peponi. AMEN.
Picha GPL
UNGANA NASI KATIKA FACEBOOK

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
20 Dec 2014

Post a Comment

 
Top