Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Amini usiamini Kimbunga Hasalimiani na Ney wa Mitego,Asema hawezi Fanya Nae Kazi kwa Sababu ana uwezo mdogo

Katika hali ya kushangaza marapa wawili ambao walikua ni marafiki wa karibu Kimbunga mchawi na Ney wa Mitego wana muda mrefu sasa hawapeani hata salam kutokana na' Beef' liliopo baina yao
Kimbunga Mchawi alikikieleza kipindi cha The Jump off cha times kuwa bada ya kukorifishana na Ney wa Mitego kwamuda sasa imekuwa hata salam hawapeani licha ya kukutana mara kwa mara katika studio moja jijin Dar Es Salaam
"nakutana nae mara kibao kwa sababu producer wke ndio producer wangu mimi Mr T touches pamoja na Jala man ambao ndio familia yangu mimi kwa hyo anakujaga pale yani mikausho mikali kakausha nami nimekausha yani" alisema Kimbunga alipoulizwa na mtangazaji wa kipindi hiko Jabir Saleh

Matatizo ya kukorofishana baina ya marafiki hao wawili yalianza pale ambapo kimbunga alipodai kua rapa ney wa mitego alikiuika makubaliano walikubaliana kuhusu kufanya pamoja wimbo wa Nasema nao ambao mdundo wake ulitumika tena katika toleo ambalo kimbunga alilitoa na kushambulia wasanii wote waliionekana kumkwaza au kuvuruga mambo ya muhimu kwa makusudi
Aidha Kimbunga alimuambia mtangazaji wa kipindi hicho kuwa kamwe hatokuja kufanya kazi na msanii Ney wa Mitego kwa sababu hana uwezo ambao anaweza kujilinganisha nae

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top