Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


jeshi la Nigeria
Jeshi la Nigeria linasema kuwa limewaua zaidi ya wanamgambo 100 wa kundi la Boko Haram kufuatia shambulizi la wapiganaji hao siku ya ijumaa kazkazini mashariki mwa jimbo la Borno.

Vikosi vya serikali vimeripotiwa kuyakamata magari na risasi wakati vilipokuwa vikiimarisha usalama katika mji wa Konduga,yapata kilomita 35 kutoka mji mkuu wa jimbo hilo, Maiduguri.
Wapiganaji wa Boko Haram wameiteka miji kadhaa na vijiji katika majuma ya hivi karibuni wakikaribia kuelekea Maiduguri.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top