Msanii wa muziki Florah Mbasha, Baada ya kufunguka mengi kuhusiana na matatizo katika ndoa yake wiki hii, ameweka wazi kuwa shughuli zake za muziki bado zinaendelea huku akiwa na albam mpya kabisa kwaajili ya wapenzi wa sanaa yake.
Frorah Mbasha amesema kuwa, anamshukuru Mungu kwa kufanikisha kutoa albam mpya inayokwenda kwa jina Nipe Nguvu ya Kushinda, kazi ambayo tayari jamii imeipokea vizuri.
Msanii huyu ambaye amezoeleka kufanya kazi ya muziki pamoja na mumewe Emmanuel Mbasha, amewatoa wasiwasi mashabiki kuwa licha ya mgogoro, Mumewe yupo katika kazi hii.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Alikiba Aelezea βKing Kibaβ ilikotokea, Adai si Mtu wa Maringo09 Sep 20160
Alikiba ametoa ufafanuzi wa wapi #KingKiba ilitokea kiasi cha kuitumia katika sehemu nyingi.Akiong...Read more ?
- VIDEO: Mama Wema Aeleza Beef yake na Man Fongo Kisaβ¦β¦..09 Sep 20160
NI Mama Wema Sepetu ambae ameingia kwenye headlines mitandaoni baada ya kutofautiana na mkali wa ...Read more ?
- Mr Blue, Barakah Daβ Prince Wapatana08 Sep 20160
BAADA ya kutibuana kisa kikiwa Naj, hatimaye wakali wa Bongo Fleva, Mr Blue na Barakah Daβ Princ...Read more ?
- Ray C aonyesha muonekano wake mpya.........Mashabiki Wampa Ushauri Mzito08 Sep 20160
Msanii wa muziki Rehema Chalamila βRay Cβ ameonyesha picha yake ya kwanza toka asaidiwe na jeshi ...Read more ?
- Maneno ya Orijino Comedy kwa Jeshi la Polisi Kuhusiana na Kuvaa Sare za polisi23 Aug 20160
Hivi karibuni kundi la sanaa ya uigizaji la Orijino komedi liliingia matatani baada ya J...Read more ?
- Hamisa Mobetto Aukata Mzizi wa Fitina kuhusu Tetesi za Kutoka na Diamond23 Aug 20160
Kwa muda sasa mlimbwende wa Tanzania, Hamisa Mobetto amekuwa akituhumiwa kutaka kumpindua Zari th...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment