March 15, 2025 09:43:33 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Rais Mstaafu wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Chancellor of the University of Dar es salaam).
 
Rais Mstaafu Kikwete anachukua nafasi hiyo, iliyoachwa wazi na Marehemu Balozi Fulgence Kazaura aliyefariki dunia Februari, 2014.
 
Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue Ikulu Jijini    Dar es Salaam, imeeleza kuwa uteuzi huo umeanza tarehe 17 Januari, 2016.

Gerson Msigwa
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, IKULU.
Dar es salaam.
21 Januari, 2016.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
21 Jan 2016

Post a Comment

 
Top