Home
»
Shilole
» Mwanaume Aliyezaa na SHILOLE Ajitokeza na Kudai Hakuwa Kumbaka Shilole Kama Habari zilivyoenea, Adai Shilole ni Muongo
Baba wa mtoto aliyezaa na Shilole amejitokeza na kulalamika kusingiziwa na msanii huyo kuhusu kumbaka..na kusisitiza alikua na uhusiano naye na amekana kumbaka.
Shilole amezungumza na Soudy Brown na kusema mwanaume huyo hajui mtoto anakula nini wala ana miaka mingapi hivyo hataki hata kumsikia kwa kuwa hilo jambo bado linamuumiza na hataki mtoto wake ajue nini kinaendelea kati yake na baba wa mtoto wake.
Pia amesema amepanga kutoa elimu kwa wanawake na wasichana ambao hufanyiwa vitendo vya unyanyasaji kutoka kwa wanaume zao.
Msikilize hapa mtu wangu…
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Mwanamuziki Shilole Adaiwa Kumfanyia Figisu Nuh Mziwanda Asiendelee Kimuziki30 Jul 20160
KUNA tetesi kuwa mwanadada asiyekauka kwenye ‘media’ ambaye pia anafanya Muziki wa Bongo Fleva,...Read more ?
- Basata Yadai Adhabu Ya Shilole Ipo Pale Pale,Ushahidi Unakusanywa Kumtwanga Nyundo Kali Zaidi09 Sep 20150
Shilole Shilole anaweza akawa anafurahia bata za Marekani baada ya kutumbuiza kwenye show nc...Read more ?
- Shilole Akaidi Adhabu ya Basata..CCM Yamtumia Kwenye Kampeni Zake....01 Sep 20150
Shilole Jukwaani kampeni CCM Msanii Zuwena Mohamed alimaarufu kama Shilole amekaidi adhabu aliy...Read more ?
- Basata Wasema Haya Kuhusu Adhabu ya Kumfungia Shilole..Mwenyewe Ajigamba Kwenda Kufanya Show Marekani....24 Aug 20150
Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) limetoa kauli kuwa adhabu ya kufungiwa kutojihusishwa na sana...Read more ?
- Baada ya sauti ya Mziwanda akimtongoza Wema Sepetu, Shilole kayaandika haya05 Aug 20150
Nakukutanisha na msanii wa bongofleva Shilole ambaye aliingia kwenye headlines baada y...Read more ?
- Breaking News: BASATA imemfungia Shilole Mwaka Mmoja, Hakuna Kufanya Muziki31 Jul 20150
Shilole Akiwa Jukwaani Huku Mali zake Zikiwa Nje Nje... Breaking news zilizoifikia usiku wa Ju...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment