Kufuatia taarifa iliyotolewa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne Makinda (Mb) kwa Waheshimiwa Wabunge wote pamoja na umma kwa ujumla, Mhe. Max amefariki dunia tarehe 23 Juni, 2015 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa akipatiwa matibabu.
Kwa mujibu wa taarifa hii, taarifa zaidi juu ya msiba huu zitaendelea kutolewa na Ofisi ya Bunge kwa kushirikiana na familia kadri zitakavyopatikana ikiwa ni pamoja na ratiba ya Mazishi.
βBWANA ametoa, BWANA ametwaa,
Jina la BWANA lihimidiwe.β Amina.
Imetolewa na:
Ofisi ya Bunge,
Idara ya Habari, Elimu kwa Umma na
Uhusiano wa Kimataifa,
DODOMA
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) afariki dunia18 Jan 20160
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Mhandisi Suleiman Said amefari...Read more ?
- Tanzia: Mwandishi wa 'Ngoswe, Penzi Kitovu cha Uzembe' afariki18 Jan 20160
Mwandishi maarufu wa tamthilia na kitabu cha βNgoswe, Penzi Kitovu cha Uzembeβ, Edwin Semzaba am...Read more ?
- Tanzia: Leticia Nyerere Afariki Dunia11 Jan 20160
Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Leticia N...Read more ?
- PICHA: MWILI WA MAREHEMU CELINA KOMBANI WAWASILI NCHINI26 Sep 20150
Viongozi mbalimbali wakiwa katika uwanja wa n...Read more ?
- Picha Kutoka Msibani Nyumbani kwa Akina Banza Stone Sinza Darβ¦18 Jul 20150
Kulikuwa na stori ya uzushi mitandaoni na June 24 nikamfata nyumbani kwao Sinza na kwenye m...Read more ?
- MAJONZI: Mwanamuziki Banza Stone Afariki Dunia17 Jul 20150
Staa wa Muziki wa Dansi Bongo, Ramadhan Masanja βBanza Stoneβ amefariki dunia mchana huu baada y...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment