Home
»
Faiza Ally
» Faiza Ally amelalamika Mahakama kumkabidhi mtoto Mbunge Joseph Mbilinyi … #Uheard
Leo June 23 2015 Mahakama ya Sinza Dar imetoa hukumu ya hatma ya mtoto wa Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi na mzazi mwenzake Faiza kwa kuruhusu mtoto huyo kulelewa na baba yake kwa madai kuwa mama hana vigezo vya kumlea mtoto huyo kimaadili.
Faiza yuko na Soudy kwenye U Heard… ameongea kwa huzuni kuhusu hukumu hiyo, anadai kuwa hajatendewa haki na pia baba wa mtoto hawezi kumlea kwa sababu ana mambo mengi.
Hata hivyo Faiza amesema pamoja na lawama ambazo amepewa kuhusu mavazi yake bado yuko tayari kujirekebisha.
U Heard iko hapa kwenye hii sauti hapa.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Mzazi Mwenziye Sugu Mahakamani Tena....Aamua Kudai Haki ya Mtoto wake yake Upya....31 Jul 20150
Imelda MtemaFAIZA Ally, ambaye ni mzazi mwenzie na mbunge wa Mbeya mjini kwa ‘leseni’ ya Chama c...Read more ?
- Sentensi Nyingine 22 za Faiza Ally Kuhusu Mavazi yake, Mtoto, Dini, Umaarufu.. Anajuta? (Audio & Pichaz)22 Jul 20150
Kama uko karibu na stori za TZ najua hautakuwa umesahau kuhusu ishu ya Mbunge wa Mbeya Mjini, ...Read more ?
- Faiza:Sugu Amedanganya Bunge Kuhusu Matunzo ya Mtoto...Adai Hayupo Tayari Kuyamaliza Kifamilia30 Jun 20150
Mzazi mwenza wa Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema) Joseph Mbilinyi, Faiza Ally jana amesema 'Sugu' a...Read more ?
- Faiza Ally : Najuta Kuvaa Nguo Iliyoonesha Makalio Yangu28 Jun 20150
Nguo aliyoivaa usiku wa June 13 kwenye tuzo za muziki za Kilimanjaro kwa nia ya kutoka kitofauti...Read more ?
- Faiza Ally Atoa Kauli Nyingine 'Nimekata Rufaa na Nawahakikishia Nitashinda Kesi na Nitamlea Mwanangu na Nitavaa Mavazi Yangu na Kuenjoy Maisha'25 Jun 20150
Leo Mrembo Faiza Ally Ameibuka tena na Kuongelea issue ya Kunyang'anywa mtoto na Mh Sugu Kupitia ...Read more ?
- Baada ya Sugu Kushinda Kesi,Faiza Asema Bora Kufa Kuliko Kumuona Sasha Akilelewa na Mama Mwingine24 Jun 20150
Baada ya Mbunge wa Mbeya Mjini kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Osmund...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment