
Katika mahojiano ambayo Gee modal alifanya bab kubwa magazine alisema kwamba jack amewahi kufanya vitendo hivyo vya usagaji kipindi cha nyuma lakini
sasahivi ameacha.
Hata hivyo Gerald amekwenda kinyume na jack ambaye kila kukicha amekuwa akipaza sauti kuwa anasingiziwa hizo tuhuma za usagaji.
" Roho inaniuma kuhusiana na hizo taarifa sijui niongee nini ili jamii inielewe kile ninachokizungumza, ni ngumu sana kufanya kitu hicho ambacho najua hamimpendezi mungu kivyovyote vile" alijitetea wolper.
Kauli Gee imesababisha watu kujiuliza wakati anafanya mahojiano na bab kubwa alipata ridhaa ya mwenzake?au aliamua tu mjibia tuhuma?
WEWE MDAU UNASEMAJE KUHUSU HILI?JE NI KWELI MSAGAJI AU ANASKNGIZIWA?
Source:
Bab kubwa magazine & Sani <<<<<BOFYA HAPA ULIKE PAGE YETU>>>>>
Post a Comment
Post a Comment