March 15, 2025 01:12:05 AM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
IRENE I
Inawezekana Irene Uwoya ameamua kuweka sehemu ya historia ya maisha yake kwenye ukurasa wake wa kijamii wa Instagram na kuamua kushare na Watanzania.
Kwa mujibu wa sehemu ya maelezo yake ni kama anataka kuwaelezea watu kuhusu sehemu ya maisha yake aliyoyapitia kipindi cha nyuma licha ya kuishia katikati na kusema kuwa ataendelea tena.
Hii ni sehemu ya kwanza ambayo Irene ameiweka kwenye ukurasa wake.
irene

INAENDELEA...bunge na kumaliza la saba!nikaenda kidato cha kwanza st.thomas gongolamboto mpaka kidato cha pili badae nikaenda Uganda nikasoma mpaka kidato cha 3 nikarud bongo kuchukua pass mpya coz yakwanza ilikuwa imesha isha…..ilikuwa ijumaaa nikiwa nimeenda kwajili ya pass mpya nirud shule!!!ndipo nilikutana na kaka mmoja mrefu,mweusi akaniita malaika”nikashangaa mhh mbona sio jina langu ?akanisogelea a kanambia kwa lugha ya kingereza Naitwa Patrick ponce monzanga!nikawa na nashangaaa coz sikuwa namjua’nikamwambia naitwa irene akanambia naomba nikwite malaika coz ur sooo beautiful huku akinipa mkono…nilipo mpa mkono tuuu basiii kumbe nilikuwa nimejitengenezea bomu bila kujua…..ITAENDELEAAAaaaaaaaaa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
06 May 2015

Post a Comment

 
Top