March 17, 2025 02:10:44 AM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


 
Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz amempa makavu laivu staa mwenzake Nay wa Mitego kwa kumchana kuwa pesa sio kila kitu katika mapenzi.
"Kha! Huyu nae anakuwaga Boya sometimes... we akili yako unaona kila kitu kinataka ela tu.. hayo mambo ndio yalokufanya kile kidem chako cha Mwanza kikuchune halaf mwisho wa siku watu wamekipa viuno ipaswavyo, kiulainiiii wamejichkulia, Unabaki kutwa kuhaha na Mtoto.... Mwanamke anatakiwa Ufundi, Madoio, Manjonjo kwa bed....UMENISKIA Nay"-Diamond aliandika mtandaoni mara baada ya ku- screenshot kile alichokiandika  Nay Wamitego
Huu ni utani wenye ukweli vile vile ni promo ya wimbo wao mpya unaozungumzia pesa au mapenzi.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
12 May 2015

Post a Comment

 
Top