March 15, 2025 03:43:47 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Zikiwa zimebakia siku chache tu Pambano la karne kutokea, baadhi ya mastaa wameendelea kutupa karata zao.

Upande wa Manny Pacuaiao.

Kuna.
- Sylivester Stallone "Rambo"
- Mike Tyson
- Mohammed Ali
- Ronda Rousey (mwanadada huyu mwenye dani nne za judo, pia mcheza boxing)
- Mark Walhberg (kacheza movie za action, na pia ame bet na P didy kiasi cha Tsh 487 kwamba Pacuiano atashinda)

Upande wa Team Mayweather

Kuna.
- Justin Beiber
- Maria Carey
- P didy
- Rick Ross
- 50 Cent

Hapo nadhani mwenye akili amegundua kitu flani, na ameeona maajabu yaliyopo, haihitaji degree wala masters.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
26 Apr 2015

Post a Comment

 
Top