Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
mtoto aliyezaliwa bila ya pua

Mtoto Eli Thompson ambaye alizaliwa March 4th katika Hospital ya Alabama akiwa hana pua. Cha ajabu na kushwangaza mtoto huyu mara baada ya kuazaliwa tu alianza kupumulia mdomo, Mama wa mtoto huyu Brandi McGlathery, alisema alijua mtoto wake amezaliwa huku kitu kikiwa hakika sawa katika mwili wa mwanae

"I pulled back and said, 'Something's wrong! And the doctor said, 'No, he's perfectly fine.' Then I shouted, 'He doesn't have a nose!'" 

mtoto aliyezaliwa bila ya pua

Kwa mujibu wa mama huyu anasema hali aliyonayo mwanae yeye anaona yuko sawa, madaktari nao wanasema halii hii huathiri karibu watu 40 kukosa viungo vyote vya mwili pindi wanapozaliwa.

Huyu anahitaji maombezi yenu wadau fanya Kutype Ameni chini kwenye comment box maombi yako yatamfikia.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top