Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Jamaa huyu (pichani) alazimishwa kula mahindi mabichi baada ya kukutwa akiiba mahindi hayo shambani huko Bukoba mkoani Kagera. Wamiliki wa shamba hilo baada ya kumkuta akiiba mahindi aliyojaza kwenye gunia, walimuamuru kukaa chini na kuyala yakiwa mabichi hadi yaishe, kitendo ambacho jamaa huyo alikubaliana nacho kwa kuogopa kipondo.
Unaonaje adhabu hii aliyopewa jamaa huyu? inatosha au ulipenda apewe adhabu gani?

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top