Home
»
Stori muhimu
» Bibi aliyekuwa kwenye rekodi ya mtu mwenye umri mkubwa zaidi duniani afariki dunia.
Kuna wakati niliwahi kuhisi kwamba huenda huku kwetu Afrika tunavunja rekodi nyingi sana ila hazipati nafasi kusikika duniani kote kwa sababu nyingi, moja ni ishu ya kutokuwa na utaratibu mzuri wa kuhifadhi kumbukumbu.
Jamii zetu zamani hazikuwa na utaratibu mzuri wa utaratibu huo kwa vile vitu kama vyeti vya kuzaliwa havikuwepo, wenzetu walikuwa na utaratibu mzuri miaka mingi iliyopita hivyo waliweza hata kuitambua siku, tarehe na mwaka aliozaliwa Misao Okawa, ambaye alikuwa kwenye kumbukumbu za Kitabu cha Guiness.
Rekodi zilizomuingiza Misao Okawa kwenye kitabu hicho mwaka 2013 ni ile ya mtu mwenye umri mkubwa zaidi duniani pamoja na rekodi ya mwanamke mwenye umri mkubwa zaidi duniani.
Misao Okawa amefariki akiwa na umri wa miaka 117, kumbukumbu zinaonesha alizaliwa March 5 1898, ameacha watoto watatu na wajukuu wanne.
Wakati wa birthday yake mwaka huu alisema siri ya kuishi muda mrefu ni ratiba yake ya kulala kwa saa nane kila siku na kula sushi, chakula alichokipenda zaidi.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- BREAKING NEWS: Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha ametangaza rasmi tarehe ya kurudiwa kwa uchaguzi mkuu wa Zanzibar22 Jan 20160
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha ametangaza rasmi tarehe ya kuru...Read more ?
- Rais Dkt. Magufuli Amteua Jakaya Kikwete Kuwa Mkuu Wa Chuo Kikuu Cha Dar Es Salaam.21 Jan 20160
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Rais Mstaafu wa awamu ...Read more ?
- JANUARY MAKAMBAASHANGAZWA NA HAYA MAGAZETI MATATU KUHUSU LOWASSA02 Sep 20150
Naibu waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ameonesha kushangazwa na mfa...Read more ?
- Polisi Yakamata Majambazi 38 Yakiwa na silaha Nzito pamoja na Milioni 170......Majambazi hayo yanadaiwa na mafunzo ya Kijeshi01 Sep 20150
Jeshi la Polisi limewakamata watu 38 wanaotuhumiwa kuwa ni majambazi ambao pia wamepatiwa mafun...Read more ?
- Wananchi Wafunga Barabara Baada ya Gari la Polisi Kugonga Wanafunzi wawili31 Aug 20150
Wananchi wa eneo la Misugusugu Wilayani Kibaha Mkoani Pwani hii leo wamefunga barabara baada ya...Read more ?
- Hali Tete Bunda, Viongozi CHADEMA Wajiuzulu...Kisa Ester Bulaya22 Aug 20150
SIKU chache baada ya mgombea ubunge wa Jimbo la Bunda Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maend...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment