Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Chama  cha  Demokrasia  na  Maendeleo (CHADEMA)  kimeshinda kesi dhidi ya aliyekuwa mwanachama wake Zitto Kabwe.

Katika  hukumu  hiyo  iliyotolewa  leo  na  Jaji  Mziray,Mahakama imewaruhusu  CHADEMA kuendelea na taratibu zake  za  Awali. Aidha, Mahakama imeamuru Zitto Kabwe alipe gharama zote za kesi.

Ikumbukwe  kuwa, mwaka jana Zitto Kabwe aliweka pingamizi mahakamani kuzuia kikao cha Kamati Kuu ya  chama  hicho  kumjadili  mpaka  pale  shauri  lake  litakaposikilizwa  na  Baraza  Kuu  la  Chama  hicho.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top