
Marafiki wa karibu wanasema kwamba amekuwa akijipiga picha hizo na kuwatumia marafiki zake pamoja na wanaume, huku akijisifia uzuri wake, ambapo wao wanaona kitendo hicho ni udhalilishaji hata kwao pia.
Kijana mmoja ambae alitumiwa picha na msichana huyo amesema alishangaa kurushiwa picha hizo japo hakujua lengo la msichana huyo.
Msichana ambaye ametajwa kurusha picha hizo amesema kwamba alipiga picha hizo na rafiki yake lakini baadae akashangaa kuona picha hizo zimeenea.
Kusikiliza story yote bonyeza play hapa chini…
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment