Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Chelsea
Phillipe Coutinho alifunga bao la ushindi na kuiwezesha Liverpool kuharibu matumaini ya Mancity kulitetea taji lake katika uwanja wa Anfield..
Bao la Jordan Henderson liliiweka mbele Liverpool kabla ya Edwin Dzeko kusawazisha.
Lakini Mchezaji wa Brazil Coutinho alipachika bao la kuvutia alipofunga kutoka nje ya eneo la hatari.
Matokeo hayo yanaiweka Mancity pointi 5 nyuma ya Chelsea huku wakiwa wamecheza mechi moja zaidi nayo Liverpool ikipanda hadi nafasi ya tano katika msimamo.

Timu zilipangwa kama ifutavyo:
Kikosi cha Liverpool (3-4-3): Mignolet 6.5, Can 7, Skrtel 7, Lovren 6.5, Markovic 6.5 (Sturridge 76), Henderson 8.5, Allen 8.5, Moreno 6.5 (Toure 82), Coutinho 9.5, Sterling 7.5, Lallana 8 
Subs not used: Lambert, Borini, Balotelli, Williams, Ward.
Manager: Rodgers 8 
Goals: Henderson 11, Coutinho 75
Booked: Lallana 
Kikosi cha Man City (4-1-3-2): Hart 6.5, Zabaleta 7.5, Kompany 5.5, Mangala 5, Kolarov 5.5, Nasri 6 (Lampard 83), Toure 5.5, Fernandinho 6.5 (Bony 78), Silva 6.5, Aguero 7.5, Dzeko 5.5 (Milner 58). 
Subs not used: Fernando, Caballero, Clichy, Demichelis
Manager: Manuel Pellegrini 5.5
Goal: Dzeko 26
Booked: Fernandinho, Milner, Bony 
Referee: Mark Clattenburg (Tyne & Wear)
Attendance: 44,590 

Henderson is mobbed by his Liverpool team-mates and Anfield boss Brendan Rodgers after his effort beat Hart all ends up


Philippe Coutinho lets fly from range to score the winning goal for Liverpool as they continued their rich vein of form

Hart is left helpless as Coutinho's effort rises above his outstretched hand and nestles in the back of the keeper's net

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top