March 14, 2025 02:07:04 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo ametangazwa kuwa mwanasoka bora Ulaya.
3794A4FB00000578-3758562-image-a-9_1472143267089
3795021500000578-3758562-image-a-16_1472147165310
Ronaldo ametangazwa kuwa mwanasoka bora wa Ulaya baada ya kuwashinda wachezaji wengine wawili ambao wote wanatokea katika timu za jiji la Madrid nchini Hispania tuzo hizo zilitolewa Nchini France katika mji wa Monaco.
3795011900000578-3758562-image-a-31_1472147265986
Katika Kura zilizopigwa na waandishi 55 wanachama wa UEFA katika Tuzo ya Mchezaji Bora wa Ulaya 2015/2016 matokeo yamekuwa hivi
Cristiano Ronaldo – 40
Antoine Griezmann – 8
Gareth Bale – 7
Mshambuliaji wa Olympique Lyon na timu ya Norway Ada Hegerber ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Ulaya kwa upande wa Wanawake 2015/2016
CquGSTEWIAACxnY

Ada Hegerberg

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
26 Aug 2016

Post a Comment

 
Top