March 29, 2025 05:43:07 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Kundi la Dola ya Kiislamu katika Iraq na Sham (ISIS) limemuua kwa kumchoma moto rubani wa Jordan, Moaz al-Kassasbeh.
Kundi hilo lilitoa masharti kwa serikali ya Jordan kuwaachia huru wanachama wake wawili Sajida al-Rishawi na Ziyad Karboli.
Katika mkanda wa video wa dakika 22 uliorushwa na kundi hilo umemuonesha Moaz mwenye umri wa miaka 26 akiwa amevaa mavazi ya rangi ya machungwa huku akiwa amezungukwa na moto.

Moaz alikamatwa na kundi hilo Desemba 24, 2014 baada ya ndege yake aina ya F-16 ilipoanguka wakati ikiruka kaskazini mwa Syria katika harakati za kijeshi dhidi ya kundi hilo.
Serikali ya Jordan imelipa kisasi kwa kuwanyonga Sajida al-Rishawi na Ziyad Karboli.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
04 Feb 2015

Post a Comment

 
Top