Home
»
Kimataifa
» Baada ya Whitney Houston kufariki kwa dawa za kulevya, vipi kuhusu hili la mwanaye?
Mtoto wa marehemu Whitney Houston, aitwaye Bobbi Kristina Brown amekutwa katika hali mbaya nyumbani kwao katika mji wa Georgia jana na kukimbizwa hospitali.
Inasemekana mtoto huyo amekua akitumia madaya ya kulevya ambayo ndiyo yaliyosababisha kifo cha mama yake
Mume wake Nick Gordon alikutwa akiwa na binti huyo na sasa anahojiwa na polisi kuhusiana na Bobbi Kristina.
Hata hivyo hakukua na maelezo yoyote kutoka kwa daktari baada ya kutokuwepo na msemaji katika hospitali ya North Fulton alikopelekwa.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Mwanaume aliyejirusha kutoka juu ya ghorofa la Mabirizi Complex katika jiji la Kampala amefariki dunia.07 Sep 20160
Mwanaume aliyejirusha kutoka juu ya ghorofa la Mabirizi Complex katika jiji la Kampala amefariki ...Read more ?
- Ufaransa yapiga marufuku vazi la kiislamu ufukweni ‘burkini’26 Aug 20160
Mahakama kubwa nchini Ufaransa imeombwa kuiondoa marufuku iliyotolewa kwenye miji 26 nchini humo k...Read more ?
- Ni Kosa Kumwangalia Mwanamke Kwa Sekunde 14 Nchini India19 Aug 20160
Watumiaji wa mitandao ya kijamii wamelalamika kuhusu tamko la afisa mmoja aliyesema kuwa ni kinyu...Read more ?
- Trump asema Hillary Clinton ni 'shetani'02 Aug 20160
Mgombea wa chama cha Republican nchini marekani Donald Trump amemtaja mshindani wake wa chama c...Read more ?
- Aliyeandika Hotuba ya Mke wa Donald Trump iliyoleta Gumzo Marekani Akiri Kosa lake21 Jul 20160
Mfanyakazi mmoja wa bwenyenye mgombea kiti cha urais wa Marekani kwa tikiti cha chama cha Republi...Read more ?
- Muuaji wa Orlando alitembelea kilabu ya wapenzi wa jinsia moja14 Jun 20160
Ripoti kutoka Orlando Marekani zasema Omar Mateen, mtu aliyewafyatulia risasi na kuwaua watu 49 ...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment