Mtoto wa marehemu Whitney Houston, aitwaye Bobbi Kristina Brown amekutwa katika hali mbaya nyumbani kwao katika mji wa Georgia jana na kukimbizwa hospitali.
Inasemekana mtoto huyo amekua akitumia madaya ya kulevya ambayo ndiyo yaliyosababisha kifo cha mama yake
Mume wake Nick Gordon alikutwa akiwa na binti huyo na sasa anahojiwa na polisi kuhusiana na Bobbi Kristina.
Hata hivyo hakukua na maelezo yoyote kutoka kwa daktari baada ya kutokuwepo na msemaji katika hospitali ya North Fulton alikopelekwa.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment