March 16, 2025 04:48:05 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Threats: Ahead of the supposed beheading of Mr Goto, the fighter known as Jihadi John said ISIS had 'authority and power, an entire army thirsty for your blood'
Kenji Goto akiwa na mwanamgambo wa IS
Japan imeelezea ghadhabu yake kwa kundi la wanamgambo la Islamic State ambalo limetoa kanda ya video inayoonyesha mauaji ya mateka raia wa nchi hiyo Kenji Goto.
Japan imeyataja mauaji hao kuwa kitendo cha kikatili ambapo waziri mkuu wa Japan mwenye hasira amesema kuwa japan itaendela kushirikiana na nchi zinazopambana na kundi hilo.
Wiki moja iliyopita mateka mwingine raia wa Japan Haruna Yukawa aliuawa na wanamgambo hao.
Familia ya kenji Goto
Kanda ya video ya hivi punde inafanana na zile zilizokuwa zikionyesha kuuawa kwa mateka wengine awali.
Kenji Goto ambaye ni mwandishi wa habari alitekwa nyara nchini Syria mwezi Oktoba mwaka uliopita.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
01 Feb 2015

Post a Comment

 
Top