March 19, 2025 08:15:26 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

kuptia ukurasa wake wa facebook mwanamuziki Diamond leo amepost picha akiwa ametua mjini songea mkoani Ruvuma kwenye maadhimisho ya miaka 38 tangu jama cha mapinduzi kuanzishwa. kwenye msafara huo ameambatana na mpenzi wake mrembo kutoka uganda zari 'thebosslady' na kuandika maneno haya 

"SONGEA!!!! SONGEA!!! SONGEA!!! niko mjini kwenu hapa Leo!.. tukutane uwanja wa #Majimaji... Mchana huu, kwenye Hafla ya CCM... Tena, Kiinglio ni Bureeee "

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
01 Feb 2015

Post a Comment

 
Top