Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
mwili wa mwanamke huyo ukiwa umejeruhiwa vibaya
Mume kahisi anaibiwa kamwita mkewe guest kafanya mambo kisha kammaliza baada ya mkewe kulala kwa kumchinja shingoni, kama haitoshi akamtoa tumbo. Tukio hili limetokea jana jijini Friends Corner, Magomeni Kagera jijini Dar. Jamani tuombeane dunia imebadilika sana.
Mtuhumiwa akiwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la Polisi
...kwa taarifa zaidi endelea kuwa nasi hapa tutakujaza zaidi punde tu.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
31 Jan 2015

Post a Comment

 
Top