Home
»
MAPENZI YA MASTAA
» Project Mpya ya Jack Wolper na Marco Chali wa Mj Records Kutoka Kimapenzi, Sikiliza You Heard Hapa
Kama ulikuwa na mbali na Radio yako ukapitwa na U Heard kwenye XXL ya jana January 30, Soudy Brown alikuwa na story kuhusu tetesi za uhusiano uliopo kati ya Producer wa MJ Records, Marco Chali na staa wa Bongo Movie, Jackline Wolper.
Gossip Cop alimtafuta Jackline Wolper lakini hakupatikana kwenye simu, alipomtafuta Marco Chali alikataa kujibu chochote kuhusu tetesi hizo ila alimjibu Soudy kwamba itabidi amtafute ili wafanye Interview kabisa kuhusu ishu hiyo.
Isikilize U Heard yote kwenye hii sauti hapa, bonyeza play.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Mapenzi Yamtokea PUANI Davina24 Jul 20150
Staa wa Filamu za Kibongo, Halima Yahaya amedaiwa kutoswa na mwanaume aliyemuachanisha na mumewe...Read more ?
- Kigogo Mpya Wa Jack Wolper Anaswa02 May 20150
Achilia mbali akina pedeshee Mangi, Dallas na Gee Modal, kigogo mpya wa staa wa sinema za Kibong...Read more ?
- Vanessa Mdee: Japo Nina Boyfriend (Jux) ila Sasa Hivi Siwezi Kuwa na Mtoto…Ifahamu Sababu26 Apr 20150
Muimbaji wa ‘Nobody But Me’ Vanessa Mdee a.k.a Vee Money ambaye hivi sasa ameweka wazi uhusiano w...Read more ?
- Naima wa Aslay Ndani ya Penzi Zito na Kipa wa Simba Manyika JR ..Adaiwa Kumshusha Kiwango cha Mpira Awapo Uwanjani21 Apr 20150
Baada ya kuwapa majibu wale wote ambao waliokua wanadai kwamba ameshuka kiwango, hivi sasa watu ...Read more ?
- Mahaba Niue! Siri ya Mapenzi Yao Iko Moyoni Mwao Wenyewe17 Apr 20150
Mastaa wengi wamekuwa wakiingia kwenye uhusiano na kufanya siri kubwa. Wapo ambao wanaonekana dhah...Read more ?
- Hatimaye Shamsa Ford Atoboa Kuwa Nay ndio “EndlessLove” Wake14 Apr 20150
Staa mrembo wa Bongo Movies Shamsa Ford ambae siku za hivi karibuni alikanusha waziwazi alipoku...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment