BAADA ya msanii wa filamu hapa Bongo, Manaiki Sanga kutangaza nia ya kutaka kumposa mwigizaji Jacqueline Wolper, staa huyo ameibuka na kumjibu kuwa na yeye yupo tayari kama ataweza kutimiza masharti.
Mwigizaji wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper akipozi na Manaiki.
Akizungumza na mwanahabari wetu, Wolper alisema katika mila za Kiafrika, posa haikataliwi, inatolewa na kisha inajadiliwa kwa hiyo kama Manaiki kajipanga, apeleke posa ikajadiliwe na wazee wake.
“Nimesikia habari za Manaiki kutaka kuniposa nikacheka sana kwa sababu yeye kama yupo tayari apeleke posa itapokelewa kwani siku zote vigezo na masharti huzingatiwa, afuate utaratibu tu,” alisema Wolper.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Mapenzi Yamtokea PUANI Davina24 Jul 20150
Staa wa Filamu za Kibongo, Halima Yahaya amedaiwa kutoswa na mwanaume aliyemuachanisha na mumewe...Read more ?
- Kigogo Mpya Wa Jack Wolper Anaswa02 May 20150
Achilia mbali akina pedeshee Mangi, Dallas na Gee Modal, kigogo mpya wa staa wa sinema za Kibong...Read more ?
- Vanessa Mdee: Japo Nina Boyfriend (Jux) ila Sasa Hivi Siwezi Kuwa na Mtoto…Ifahamu Sababu26 Apr 20150
Muimbaji wa ‘Nobody But Me’ Vanessa Mdee a.k.a Vee Money ambaye hivi sasa ameweka wazi uhusiano w...Read more ?
- Naima wa Aslay Ndani ya Penzi Zito na Kipa wa Simba Manyika JR ..Adaiwa Kumshusha Kiwango cha Mpira Awapo Uwanjani21 Apr 20150
Baada ya kuwapa majibu wale wote ambao waliokua wanadai kwamba ameshuka kiwango, hivi sasa watu ...Read more ?
- Mahaba Niue! Siri ya Mapenzi Yao Iko Moyoni Mwao Wenyewe17 Apr 20150
Mastaa wengi wamekuwa wakiingia kwenye uhusiano na kufanya siri kubwa. Wapo ambao wanaonekana dhah...Read more ?
- Hatimaye Shamsa Ford Atoboa Kuwa Nay ndio “EndlessLove” Wake14 Apr 20150
Staa mrembo wa Bongo Movies Shamsa Ford ambae siku za hivi karibuni alikanusha waziwazi alipoku...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment